State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameshughudia utiaji wa Saini ya Ujenzi wa Barabara za Juu (Flyover) Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.

Rais wa Zanzibar ambae pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki uchaguzi wa Chama Cha Mapinduzi wadi ya Migombani Jimbo la Mpendae Zanzibar Leo 6-8-2022.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Mwinyi ametoa Mkono wa Pole kwa Familia ya Marememu Hajjat Akiba Rajab Ramadhan.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na waumini wa Dini ya kiislam katika sala ya Ijumaa Masjid Qubba kwa Boko Unguja

Rais wa Zanzibar amewaapisha Viongozi aliowateua hivi karibuni.