State House Blog

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Balozi na Naibu Mwakilishi wa Kudumu Ubalozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Nchini Marekani

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Alim Mwinyi amezindua muongozo wa Mafunzo ya Sayansi,Kingereza na Hisabati kwa Skuli za Sekondari Zanzibar