DK.SHEIN AMERIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA BARABARA YA BUBUBU-MAHONDA HADI MKOKOTONI.
MAKAMO Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, ameeleza kuridhishwa na kasi kubwa inayoendelea ya ujenzi wa barabara ya Bububu-Mahonda…
Read More