Rais Dkt.Mwinyi amekabidhi Kombe la Muungano 2026 kwa timu ya Simba Sport Club ya Dar es Salaam

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewaongoza maelfu ya mashabiki wa soka kushuhudia mchezo wa fainali wa Ligi ya Muungano kati ya Simba na…

Read More

Serikali zote Mbili za SMZ na SMT zitaendeleza na kuweka   Mkazo maalum wa kumaliza Changamoto za Muungano ambazo bado hazijapatiwa Ufumbuzi

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali zote Mbili za SMZ na SMT zitaendeleza na kuweka Mkazo maalum…

Read More

Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza waumini wa dini ya Kiislamu kuitumia vema misikiti kwa ajili ya kujadiliana na kuzipatia ufumbuzi changamoto zilizopo katika jamii

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza waumini wa dini ya Kiislamu kuitumia vema misikiti kwa ajili ya kujadiliana na kuzipatia ufumbuzi…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi amesisitiza uboreshaji wa Mfumo wa Viza Kidigitali pamoja na uimarishaji wa Usalama Nchini

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishauri Wizara ya Mambo ya Ndani kuimarisha mfumo wa utoaji wa viza kwa njia ya kidigitali ili huduma hiyo…

Read More

Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameshiriki hafla ya uwasilishaji wa Ripoti ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameshiriki hafla ya uwasilishaji wa Ripoti ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati…

Read More