Rais Dkt. Mwinyi amesisitiza uzalendo na uwazi katika Utumishi wa Umma

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewasisitiza Watumishi wa Umma kuendelea kufanya kazi kwa uzalendo, uwajibikaji na uadilifu, kwa kuzingatia…

Read More

Zainzibar imejiandaa vema kwa Uchaguzi na utakuwa Huru wa Uwazi ,Usalama na haki

Rais wa Zanzibar na Mwenyekit wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi ame wahakikishia Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Afrika kuwa Zainzibar imejiandaa vema kwa Uchaguzi na utakuwa Huru…

Read More

Dkt, Hussein Ali Mwinyi amehitimisha Kampeni za Chama Cha Mapinduzi Kisiwani Pemba na kuwasisitiza Wananchi kukichagua chama hicho ili kiendelee kuleta Maendeleo na Kuzitunza Tunu za Taifa.

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amehitimisha Kqmpeni za Chama Cha…

Read More

Dkt. Mwinyi amesema CCM ina kila sababu ya kushinda Uchaguzi

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Chama…

Read More

Mageuzi ya Uchumi na Fedha yamejenga Zanzibar Shirikishi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa mageuzi ya uchumi na fedha yaliyotekelezwa na Serikali yamekuwa msingi muhimu wa kuijenga…

Read More

Suala la kudumisha amani ni jukumu la kila Mwananchi anayependa maendeleo ya nchi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa suala la kudumisha amani ni jukumu la kila Mwananchi anayependa maendeleo.Alhaj Dkt. Mwinyi ameyasema…

Read More

Dkt. Mwinyi ameahidi Uwezeshaji na Ushirikishwaji zaidi kwa Watu wenye Ulemavu katika Serikali Ijayo.

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Serikali…

Read More