News and Events

MWENYEKITI wa ZEC Mhe.Jecha Salim Jecha amemtangaza rasmi Mhe.Dk.Shein wa CCM kuwa Rais wa Zanzibar.

MWENYEKITI wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) Mhe. Jecha Salim Jecha amemtangaza rasmi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwamba amechaguliwa kihalali na wananchi wa Zanzibar…

Read More

Tanzania ikiwemo Zanzibar inajivunia uhusiano na ushirikiano uliopo na Kuwait

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesisistiza haja ya kuimarishwa uhusiano na ushirikiano uliopo kati ya Tanzania na Kuwait hasa katika kushajihisha…

Read More

Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amemuapisha Naibu Katibu Mkuu (Uwezeshaji),

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amemuapisha Ndugu Hassan Khatib Hassan kuwa Naibu Katibu Mkuu (Uwezeshaji), katika Wizara ya Uwezeshaji Ustawi…

Read More

Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar katika viwanja vya Victoria Garden Mjini Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewataka watumiaji wote wa mitandao ya kijamii na wale wenye dhamana ya kusimamia na kufanya tahariri wawe makini…

Read More

Rais wa Zanzibar na MBLM Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa Viongozi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa Viongozi mbali mbali katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifuatavyo:-

Read More