Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbali mbali wakati alipoenda kufunga Semina Elekezi kwa Mawaziri, Naibu Mawaziri na Makatibu W
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbali mbali wakati alipoenda kufunga Semina Elekezi kwa Mawaziri, Naibu Mawaziri na Makatibu Wakuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, iliyofanyika kwa siku mbili katika Hoteli ya Golden Tulip Airport, Zanzibar.