Dk.Hussein Ali Mwinyi leo Agosti 26, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa Jamhuri ya Msumbiji nchini Tanzania.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi leo Agosti 26, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa Jamhuri ya Msumbiji nchini Tanzania, Mhe. Balozi…

Read More

Rais wa Zanzibar na MBLM Dk. Hussein Ali Mwinyi leo Agosti 25, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi leo Agosti 25, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania.

Read More