Dk. Hussein Ali Mwinyi amesisitiza haja kwa watendaji Serikalini kubadilika na kutofanya kazi kwa mazoea ili mipango iliyopangwa na Serikali iweze kutekelezeka.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesisitiza haja kwa watendaji Serikalini kubadilika na kutofanya kazi kwa mazoea ili mipango iliyopangwa na Serikali…

Soma Zaidi

Ali Mwinyi amewataka watendaji wa Serikali kuwa wabunifu na kuja na njia mbadala ya kutafuta fedha nje ya Bajeti ya Serikali, ili kufanikisha utekelezaji wa mipango ya Serikali.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka watendaji wa Serikali kuwa wabunifu na kuja na njia mbadala ya kutafuta fedha nje ya Bajeti ya Serikali,…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewaapisha watendaji mbali mbali aliowateua hivi karibuni.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewaapisha watendaji mbali mbali aliowateua hivi karibuni kushika nyadhifa zao.Hafla hiyo ya kiapo imefanyika Ikulu…

Soma Zaidi

Balozi wa China nchini Tanzania, Zhang Zhisheng amesema msaada wa Vyerahani uliotolewa na Ubalozi huo kwa Jumuiya ya “Zanzibar Maisha Bora Foundation”

Balozi wa China nchini Tanzania, Zhang Zhisheng amesema msaada wa Vyerahani uliotolewa na Ubalozi huo kwa Jumuiya ya “Zanzibar Maisha Bora Foundation”, unalenga kuwawezesha wanawake wa Zanzibar…

Soma Zaidi