News and Events

MKE wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Mama Mariam Mwinyi ameinasihi jamii kuendeleza mema yote ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani hata baada ya kumalizika kwa ibada za mfungo huo

MKE wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Mama Mariam Mwinyi ameinasihi jamii kuendeleza mema yote ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani hata baada ya kumalizika kwa ibada za mfungo huo.Mama Mariam aliyasema hayo,…

Read More

Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza viongozi na watumishi wa umma kubadilika kwa kujikurubisha mbele ya Mwenyezi Mungu (S.W)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza viongozi na watumishi wa umma kubadilika kwa kujikurubisha mbele ya Mwenyezi Mungu (S.W) ili…

Read More

Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza Wanachama wa Chama hicho pamoja na waislamu kwa ujumla kuendelea kukithirisha ibada kwa siku chache zilizobakia za Mfungo mtukufu wa Mwezi wa Ramadhani

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza Wanachama wa Chama hicho pamoja na…

Read More