Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akipokea zawadi ya Madafu kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mheshimiwa
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akipokea zawadi ya Madafu kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mheshimiwa Gallas Mwimbo pamoja na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Shukrani baada ya kumalizika kwa Uchaguzi Octoba, 2025.