Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika picha ya pamoja na wanachama na wapenzi wa Chama cha Mapinduzi wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika picha ya pamoja na wanachama na wapenzi wa Chama cha Mapinduzi wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la huduma za akina mama na watoto katika Hospitali ya Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja leo tarehe 27 Octoba, 2025.