News and Events

Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza viongozi na watumishi wa umma kubadilika kwa kujikurubisha mbele ya Mwenyezi Mungu (S.W)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza viongozi na watumishi wa umma kubadilika kwa kujikurubisha mbele ya Mwenyezi Mungu (S.W) ili…

Read More

Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza Wanachama wa Chama hicho pamoja na waislamu kwa ujumla kuendelea kukithirisha ibada kwa siku chache zilizobakia za Mfungo mtukufu wa Mwezi wa Ramadhani

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza Wanachama wa Chama hicho pamoja na…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi alisema Sera ya Uchumi wa Buluu ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ina dhamira njema ya kuimarisha uchumi wa nchi

Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo ukumbi wa hoteli ya Golden Tulip, Uwanja wa ndege Mkoa wa Mjini Magharibi alipozindua Duru ya kwanza ya utoaji wa vitalu kwa kampuni kwenye maeneo ya bahari kwa…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema, Serikali anayoiongoza tayari imepita lengo la Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinzi (CCM)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema, Serikali anayoiongoza tayari imepita lengo la Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinzi (CCM) ya kutaka zijengwe…

Read More