News and Events

Hotuba ya Waziri wa Nchi Afisi ya Rais - Ikulu   Mheshimiwa Dkt. Saada Mkuya Salum (MBM) kuhusu makadirio ya mapato na matumizi   kwa mwaka wa Fedha 2026/2027.

YALIYOMO ORODHA YA VIAMBATANISHO .......................................................iv VIFUPISHO VYA MANENO ................................................................vi UTANGULIZI .........................................................................................1…

Read More

Dkt Hussein Ali Mwinyi ameyakaribisha Makampuni na Wawekezaji wa Uturuki kuwekeza Nchini hususan katika Maeneo ya Biashara, Nishati na Miundombinu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi ameyakaribisha Makampuni na Wawekezaji wa Uturuki kuwekeza Nchini hususan katika Maeneo ya Biashara ,Nishati na Miundombinu.Rais…

Read More

Dkt. Mwinyi Atangaza ongezeko la Mshahara kima cha Chini ni Sh. 500,000

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza ongezeko la kima cha chini cha mshahara kutoka shilingi 300,000 hadi shilingi 500,000 kwa mwezi.…

Read More

Dkt. Mwinyi amepokea Ripoti ya CAG Zanzibar ya mwaka 2024 - 2025.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar (CAG) ya mwaka 2024–2025. Ripoti…

Read More