News and Events

Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema bara la Afrika lina kila sababu ya kujivunia mafanikio makubwa waliyonayo na kuyaendeleza kwa kutumia ubunifu, utekelezaji wa Sera na mikakati iliyojiwekea kwa maendele

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema bara la Afrika lina kila sababu ya kujivunia mafanikio makubwa waliyonayo na kuyaendeleza kwa kutumia ubunifu,…

Read More

Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameinasihi jamii kuongeza upendo na ushirikiano hasa kwenye makundi maalum na kuwasaidi kwa kila hali.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameinasihi jamii kuongeza upendo na ushirikiano hasa kwenye makundi maalum na kuwasaidi kwa kila hali.Al…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar inahitaji ufumbuzi wa haraka kuongeza huduma za jamii vijijini

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar inahitaji ufumbuzi wa haraka kuongeza huduma za jamii vijijini.Dk. Mwinyi aliyasema hayo kwenye…

Read More

Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mama Mariam Mwinyi ametoa rai kwa watafiti kulifanyia utafiti zao la mwani ili kulitambulisha zaidi duniani

MSARIFU na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mama Mariam Mwinyi ametoa rai kwa watafiti kulifanyia…

Read More