News and Events

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na ujumbe wa Taasisi ya Wakaguzi wa ndani. Tanzania (IIAT).

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesisitiza haja kwa Wakaguzi wa ndani kujikita zaidi kwenye utendaji badala ya kuishia kwenye vitabu hatua ambayo…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa pongeza kwa Umoja wa Maaskari Wastaafu (UMAWA),kwa kujenga chombo hicho ambacho kinawaweka pamoja askari waastaafu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa pongeza kwa Umoja wa Maaskari Wastaafu (UMAWA), kwa kujenga chombo hicho ambacho kinawaweka pamoja askari waastaafu.Rais…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa salamu za rambirambi kwa familia za marehemu waliofariki kufuatia kula samaki wa kasa anayesadikiwa kuwa na sumu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa salamu za rambirambi kwa familia za marehemu waliofariki kufuatia kula samaki wa kasa anayesadikiwa kuwa na…

Read More

Dk. Hussein Mwinyi ameishukuru Bodi ya Taasisi ya ‘Mkapa Foundation’ kwa kuona umuhimu wa kuichaguwa Zanzibar kuwa mwenyeji wa maadhimisho ya kumbu kumbu ya Rais wa Awamu ya tatu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi ameishukuru Bodi ya Taasisi ya ‘Mkapa Foundation’ kwa kuona umuhimu wa kuichaguwa Zanzibar kuwa mwenyeji wa maadhimisho…

Read More

Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka waumin wa Dini ya Kiislamu Shehiya ya Unguja Ukuu, kutumia vyema msikiti wa Al-Noor kwa ajili ya kujadili matatizo yanayoihusu jamii na kuyatafutia ufumbuzi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka waumin wa Dini ya Kiislamu Shehiya ya Unguja Ukuu, kutumia vyema msikiti wa Al-Noor kwa ajili ya kujadili…

Read More