Rais Mwinyi amesema China ni Mshirika Muhimu kwa Uchumi Wa Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kwa kipindi cha miaka mingi, China imekuwa mshirika muhimu katika ukuaji wa uchumi Zanzibar kupitia…

Read More

Rais Mwinyi amesema SMZ kujenga Kiwanja Kipya Cha Mpira wa miguu kwa ajili ya Afcon.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameendelea na ziara ya kikazi nchini China ambapo leo amekutana na kampuni mbalimbali zinazolenga kuwekeza…

Read More

Rais Mwinyi amekutana na Uongozi wa Kampuni ya WUHAN nchini China

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, katika ziara yake nchini China leo amekutana na ujumbe kutoka Kampuni ya Wuhan Guangfu Tangyuan Buer Cultural…

Read More

Serikali itaendelea kuimarisha sekta ya uwekezaji na shughuli za biashara ili kukuza uchumi na kuongeza fursa nyingi za ajira kwa vijana

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapindizi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuimarisha sekta ya uwekezaji na shughuli…

Read More