Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ka
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa katika futari ya pamoja aliyowaandalia katika viwanja vya Ikulu, Mkoa wa Mjini Magharibi, na kuhudhuriwa na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa pamoja na viongozi wa ngazi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi. Pia imehudhuriwa na Mke wa Rais wa Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi.