President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
  • Home
  • President's Office
    • Overview
    • Vision & Mission
    • President
    • Past Presidents
  • Administration
    • Revolutionary Council
    • Office of the President
  • Media
    • News and Events
    • Speeches and Statements
    • Press Releases
    • Photos
    • Videos
    • Videos 2
  • Publications
    • Speeches
    • Action Plans
    • Publications
    • Reports
    • Budgets
  • Blog
  • Contact Us

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi na Wananchi wa Chwaka katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Simai Msaraka Pinja.

  • 13 May 2023
  • News and Events
  • 123
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi na Wananchi wa Chwaka katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Simai Msaraka Pinja, ikisomwa na Sheikh Abdalla Khamis Juma (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa maziko hayo yaliyofanyika Kijijini kwao Chwaka Mkoa wa Kusini Unguja leo 13-5-2023 na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja Mhe. Rashid Sima Msaraka, Mtoto wa Marehemu na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla

Media

  • Mke wa Rais wa Zanzibar, na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mariam Mwinyi, amemtunukia zawadi ya heshima Mke wa Rais wa Jamhuri ya Singapore, Mhe. Jane Ittogi Shanmugaratnam, na kumhakikishia
  • Mama Mariam Mwinyi amempokea Mke wa Rais wa Singapore na kujadili fursa za ushirikiano.
  • Rais Dkt.Mwinyi amesema Zanzibar inafungua ukurasa mpya wa Ushirikiano na Singapore.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi akiagana na Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Tanzania Mheshimiwa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo
  • Rais Dkt. Mwinyi amesema SMZ kuendelea kuunga mkono juhudi za Chuo Kikuu cha Tanzinia.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa miongoni mwa Mabalozi, wa nchi za Kiarabu wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania waliofika
  • Rais Dkt amewakaribisha wawekezaji na wafanyabiashara kutoka nchi za Kiarabu kuwekeza Zanzibar
  • Dkt. Mwinyi, amesema Zanzibar imeingia katika hatua mpya ya mageuzi ya kiuchumi yanayolenga kuimarisha ushindani katika soko la kimataifa kwa kupanua fursa za uwekezaji
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiagana na mwanazuoni na mhamasishaji wa dhana ya Utalii Halali Duniani, Bw. Ismail Bullock kutoka Dubai,baada ya
  • Rais Dkt. Mwinyi amekutana na Mwanazuoni na Mhamasishaji wa Dhana ya Utalii halali Duniani.

Subscribe to RSS Feeds

Get all latest content delivered to your email a few times a month.

  • English
  • Swahili
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar

Quick Links

  • Overview
  • Vision & Mission
  • President
  • Past Presidents
  • Revolutionary Council
  • Office of the President
  • Government Security Office (GSO)

Categories

  • Blog
  • News and Events
  • Speeches and Statements
  • Press Releases
  • Photos
  • Videos
  • Useful Links

Useful Links

  • First Vice President Office
  • Second Vice President Office
  • Chief Secretary Zanzibar
  • House of Representatives
  • Zanzibar Investment Promotion Authority
  • Ministry of State, President's Office, Finance and Planning
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

Talk to the President App

© Copyright 2026 - President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar

  • Home
  • Privacy Policy
  • Feedback
  • E-Office
  • Webmail