President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
  • Home
  • President's Office
    • Overview
    • Vision & Mission
    • President
    • Past Presidents
  • Administration
    • Revolutionary Council
    • Office of the President
  • Media
    • News and Events
    • Speeches and Statements
    • Press Releases
    • Photos
    • Videos
    • Videos 2
  • Publications
    • Speeches
    • Action Plans
    • Publications
    • Reports
    • Budgets
  • Blog
  • Contact Us

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi na Wananchi wa Chwaka katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Simai Msaraka Pinja.

  • 13 May 2023
  • News and Events
  • 94
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi na Wananchi wa Chwaka katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Simai Msaraka Pinja, ikisomwa na Sheikh Abdalla Khamis Juma (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa maziko hayo yaliyofanyika Kijijini kwao Chwaka Mkoa wa Kusini Unguja leo 13-5-2023 na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja Mhe. Rashid Sima Msaraka, Mtoto wa Marehemu na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla

Media

  • Dkt. Mwinyi amesema Maadili ya Kiimani ni msingi wa Uongozi Bora.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na wananchi pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali katika maziko ya Bi. Asha Khalid Salum aliyefarik
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika futari aliyoiandaa kwa ajili ya wananchi wa Mkoa w
  • Rais Mwinyi amefutarisha Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akizungumza leo, tarehe 5 Machi 2026, alipokutana na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya KCB Tanzania, Ndg. Cosmas Kimario, pamoja
  • Dkt. winyi ameihimiza Benk ya KCB kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi kuwawezesha Vijana.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Dodoma amabae ameambatana na ujumbe wake, na
  • Rais Dkt. Mwinyi ameipongeza Hospital ya Benjamini Mkapa kwa mageuzi ya huduma za Kibingwa.
  • Rais Dkt. Mwinyi amesema mashindano ya Quraan yameiweka Tanzania kwenye ramani ya Kimataifa.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu wakati alipoungana na waumini katika Sala ya Ijumaa iliyosaliwa Msikiti

Subscribe to RSS Feeds

Get all latest content delivered to your email a few times a month.

  • English
  • Swahili
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar

Quick Links

  • Overview
  • Vision & Mission
  • President
  • Past Presidents
  • Revolutionary Council
  • Office of the President
  • Government Security Office (GSO)

Categories

  • Blog
  • News and Events
  • Speeches and Statements
  • Press Releases
  • Photos
  • Videos
  • Useful Links

Useful Links

  • First Vice President Office
  • Second Vice President Office
  • Chief Secretary Zanzibar
  • House of Representatives
  • Zanzibar Investment Promotion Authority
  • Ministry of State, President's Office, Finance and Planning
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

Talk to the President App

© Copyright 2026 - President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar

  • Home
  • Privacy Policy
  • Feedback
  • E-Office
  • Webmail