Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wanaoenda kuiwakilisha Tanzania katika mataifa mbalimbali Ulimwenguni na k
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wanaoenda kuiwakilisha Tanzania katika mataifa mbalimbali Ulimwenguni na kuwaambia wazingatie diplomasia ya kiuchumi kwa kutangaza fursa za uwekezaji zilizopo nchini.