Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar, Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akishiriki Kikao cha siku mbili cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kinachok
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar, Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akishiriki Kikao cha siku mbili cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kinachokutana jijini Dar es Salaam, leo, tarehe 28 Aprili, 2026.Kikao hicho kimeongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan .