Media

NEC yamkabidhi Ripoti ya Uchaguzi Rais wa Jamhuri ya Mkuungano wa Tanzania Mhe,John Pombe Magufuli

Baadhi ya Mawaziri na Viongozi wengine wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Mkuungano wa Tanzania Mhe,John Pombe Magufuli alipokuwa akitoa hutuba yake mbele ya viongozi hao na waalikwa wakiwepo mabalozi…

Read More

Balozi wa Afrika ya Kusini katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amtembelea Mhe.Dk.Shein,

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Afrika ya Kusini katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Thamsanga Dennis Msekelu…

Read More

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki amtembelea Dk.Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki Mhe,Augustino Mahiga alipofika Ikulu Mjini…

Read More

Balozi Mdogo wa Jamhuri ya Watu wa China alifika Ikulu mjini Zanzibar kwa ajili ya kuaga

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kuwa uhusiano na ushirikiano mzuri ndani ya miaka 52 kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali…

Read More

Dk.Shein akutana na kuzungumza na watumishi wa vyombo vya habari vya Serikali ya Mapinduzi ya Z’bar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo amekutana na kuzungumza na watumishi wa vyombo vya habari vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na kuhimiza ushirikiano…

Read More

Serikali ya Jamhuri ya watu wa China inapongezwa kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ametoa pongezi kwa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha sekta…

Read More

Serikali inawajali Vijana wake.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema Serikali inawajali vijana wake na ndio maana imekuwa kila wakati ikitafuta mbinu na mikakati ya kukabiliana…

Read More