Dk. Hussein Ali Mwinyi amesisitiza iwapo bahari itatumika ipasavyo itasaidia kwa kiasi kikubwa kutekeleza dhana ya uchumi wa Buluu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesisitiza kwamba iwapo bahari itatumika ipasavyo hatua hiyo itasaidia kwa kiasi kikubwa kutekeleza dhana ya uchumi…

Read More

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa kushirikiana na Kampuni za DNATA na EGIS katika uendeshaji wa Huduma za Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Terminal III

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi amesema uamuzi wa Serikali wa kushirikiana na Kampuni za National Air Travel Agency (DNATA) pamoja na EGIS katika uendeshaji…

Read More

Hatua za makusudi zinapaswa kuchukuliwa ili kuzuia na kupunguza madhara yatokanayo na maafa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa hatua za makusudi zinapaswa kuchukuliwa ili kuzuia na kupunguza madhara yatokanayo na maafa, ingawa ni…

Read More