Fedha zilizopo katika Akaunti Maalum ya kulipia Madeni zimefikia Dola za Kimarekani Milioni 350.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema fedha zilizopo katika Akaunti Maalum ya Kulipia Madeni zimefikia Dola za Kimarekani Milioni 350. Dkt. Mwinyi…

Read More

SMZ imedhamiria kuboresha huduma za Afya kwa Wananchi wote

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema dhamira ya Serikali ni kuhakikisha kila Mwananchi anapata huduma bora za afya katika kila ngazi ya…

Read More

Dkt. Mwinyi amehitimisha Kampeni za CCM Zanzibar na kuainisha Sekta 11 za Kipaumbele kwa Awamu Ijayo

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amehitimisha rasmi…

Read More

Dkt Hussein Ali Mwinyi amewahakikishia Wananchi Ulinzi wa Uhakika siku ya Uchaguzi

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi amewahakikishia Wananchi Ulinzi wa Uhakika siku ya Uchaguzi na…

Read More

Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahakikishia wananchi ulinzi wa uhakika siku ya uchaguzi Mkuu ujao.

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahakikishia wananchi ulinzi wa uhakika siku ya uchaguzi…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi amesisitiza uzalendo na uwazi katika Utumishi wa Umma

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewasisitiza Watumishi wa Umma kuendelea kufanya kazi kwa uzalendo, uwajibikaji na uadilifu, kwa kuzingatia…

Read More