UTEUZI

Kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu cha 4(a) cha Sheria ya Usajili ya Magazeti na Vijarida Namba 5 ya Mwaka1988,

Read More

Wanafunzi waliopata Daraja la kwanza wa Kidato cha Nne na Kidato cha Sita wamepongezwa na Dk.Shein

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein amewapongeza wanafunzi wa Zanzibar waliopata Daraja la kwanza wa Kidato cha Nne na Kidato cha Sita na kuwaeleza…

Read More

UTEUZI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa Viongozi katika Taasisi Mbali Mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifuatavyo:-

Read More

Wawekezaji wa sekta ya utalii kutoka nchini Saud Arabia wamekaribishwa kuja kuekeza Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewakaribisha wawekezaji wa sekta ya utalii kutoka nchini Saud Arabia kuja kuekeza Zanzibar kutokana na fursa zilizopo…

Read More

Wageni kutoka Serikali ya Oman wamekongwa nyoyo na Kikundi cha Taifa

KIKUNDI cha Taarab cha Taifa kimekonga nyoyo za hadhira iliyohudhuria katika hafla ya Chakula maalum cha usiku kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali…

Read More

Dk. Shein ameipongeza Serikali ya Oman chini ya uongozi wa Sultan Qaboos bin Said

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein ameipongeza Serikali ya Oman chini ya uongozi wa Sultan Qaboos bin Said kwa kuendeleza uhusiano na ushirikiano…

Read More

KUFUTA UTEUZI

Kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu Namba 53 cha Katibaya Zanzibar ya 1984 na Kifungu 12(3) cha Sheria ya Utumishi wa Umma Namba 2 ya mwaka 2011,

Read More

Ufunguzi wa maonesho ya Siku ya Chakula Duniani, yaliofanyika huko Kizimbani

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa katika kipindi cha hivi karibuni dhamira njema ya kuwapa eka tatu wananchi kwa ajili ya kilimo…

Read More