Rais Dkt. Mwinyi amesisitiza uboreshaji wa Mfumo wa Viza Kidigitali pamoja na uimarishaji wa Usalama Nchini

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishauri Wizara ya Mambo ya Ndani kuimarisha mfumo wa utoaji wa viza kwa njia ya kidigitali ili huduma hiyo…

Read More

Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameshiriki hafla ya uwasilishaji wa Ripoti ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameshiriki hafla ya uwasilishaji wa Ripoti ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati…

Read More

Rais Dkt.Mwinyi amesisitiza SMZ kuimarisha huduma na Elimu kuhusu Usonji

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Usonji kwa watoto ni changamoto kubwa ya kijamii inayohitaji ushirikiano wa karibu kati ya Serikali…

Read More

Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Balozi wa Italia nchini Tanzania, Mhe. Giuseppe Sean Coppola Ikulu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemshukuru Balozi wa Italia nchini Tanzania, Mhe. Giuseppe Sean Coppola, kwa kuendelea kuimarisha uhusiano…

Read More