Dkt. Mwinyi amepokea Ripoti ya CAG Zanzibar ya mwaka 2024 - 2025.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar (CAG) ya mwaka 2024–2025. Ripoti…

Read More

Rais Dkt.Mwinyi amesema Zanzibar itaendelea kushirikiana na Ireland.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar itaendelea kuimarisha ushirikiano wa muda mrefu na Ireland, hususan katika sekta za uwekezaji,…

Read More

Rais Dkt.Mwinyi amekabidhi Kombe la Muungano 2026 kwa timu ya Simba Sport Club ya Dar es Salaam

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewaongoza maelfu ya mashabiki wa soka kushuhudia mchezo wa fainali wa Ligi ya Muungano kati ya Simba na…

Read More

Serikali zote Mbili za SMZ na SMT zitaendeleza na kuweka   Mkazo maalum wa kumaliza Changamoto za Muungano ambazo bado hazijapatiwa Ufumbuzi

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali zote Mbili za SMZ na SMT zitaendeleza na kuweka Mkazo maalum…

Read More

Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza waumini wa dini ya Kiislamu kuitumia vema misikiti kwa ajili ya kujadiliana na kuzipatia ufumbuzi changamoto zilizopo katika jamii

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza waumini wa dini ya Kiislamu kuitumia vema misikiti kwa ajili ya kujadiliana na kuzipatia ufumbuzi…

Read More