Dkt. Mwinyi amesema Maadili ya Kiimani ni msingi wa Uongozi Bora.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewasisitiza viongozi wakuu katika taasisi za umma kuzingatia upendo, uadilifu na haki katika kuwasimamia wanaowaongoza…

Read More

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na wananchi pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali katika maziko ya Bi. Asha Khalid Salum aliyefarik

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na wananchi pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali katika maziko ya Bi. Asha Khalid Salum aliyefariki…

Read More

Rais Mwinyi amefutarisha Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika futari aliyoiandaa kwa ajili ya wananchi wa Mkoa wa Mjini…

Read More

Dkt. winyi ameihimiza Benk ya KCB kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi kuwawezesha Vijana.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumzia changamoto zinazowakabili vijana, ameisisitiza benki ya KCB Tanzania kupitia programu ya kurudisha…

Read More