Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na Waziri wa Mamlaka ya Saudi Arabia  anayeshuhulikia Mambo ya Kiislamu,Misaada, Daawa,na Miongozo Mhe,Dk.Sheikh Saleh bin Abdul Aziz bin Muhammad bin Ibrahim

Dk.Shein amekutana na ujumbe kutoka Saudi Arabia.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kuwa ziara ya Waziri wa Mamlaka ya Saudi Arabia anayeshughulikia Mambo ya Kiislamu, Daawa, Misaada na Miongozo,…

Read More
Mwenyekiti wa CCM Taifa pia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt.John Pombe  Magufuli alipokuwa akiteta jambo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein wakati wa Mkutano wa

MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA (NEC)

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa,na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amefungua mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) na kuwapongeza wajumbe…

Read More

Dk.Shein amekutana na Balozi wa Tanzania nchini Canada

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza haja kwa Ubalozi wa Tanzania nchini Canada ambao pia, unaiwakilisha Tanzania nchini Cuba kuitilia mkazo Sera…

Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akitoa risala ya kuukaribisha Mwezi mtukufu wa Ramadhan kwa Wananchi wa zanzibar na tanzania kwa ujumla katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar

Risala ya Mwezi mtukufu wa Ramadhan.

RISALA YA RAMADHANI YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI, MHESHIMIWA DK. ALI MOHAMED SHEIN, YA KUUKARIBISHA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI KWA MWAKA 1439 HIJRIYA, 2018 MILADIA.

Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein  akifungua pazia kuashiria kulifungua Tawi jipya la CCM Fuoni Michenzani hafla iliyofanyika katika Wilaya ya Dimani Kichama.

Dk.Shein Amezindua Tawi la CCM Fuoni Michenzani

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein amewataka wanaCCM katika Tawi la Fuoni Michenzani kutekeleza dhamira ya Chama chao katika suala zima la kuimarisha…

Read More

MKUTANO WA MABALOZI WA WILAYA YA KASKAZINI ‘B’ UNGUJA

MAKAMO Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein alikutana na Mabalozi wa Wilaya ya Kaskazini Kaskazini B katika ukumbi wa CCM…

Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akitia saini kitabu cha wageni alipowasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Skuli ya Sekondari ya Makunduchi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguj

MKUTANO WA MABALOZI WA WILAYA YA KUSINI UNGUJA

MAKAMO Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein amekutana na Mabalozi wa Wilaya ya Kusini Unguja katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari Makunduchi na kutumia fursa hiyo kuwaeleza majukumu…

Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi piaMakamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.Ramadhan Abdalla Ali (kichupa) alipowasili katika viwanja vya Ukumbi wa Mikutano wa

MKUTANO WA MABALOZI WA WILAYA YA KATI UNGUJA

MAKAMO Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kuwa CCM inaendelea kutekeleza Ilani yake ya Uchaguzi ya mwaka 2015-2020 na kuwahakikishia wananchi kuwa Serikali ya Mapinduzi…

Read More