Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi Mdogo wa India aliyepo Zanzibar, Balozi Kumar Praveen, aliyefika Ikulu kwa ajili ya kuaga baada
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi Mdogo wa India aliyepo Zanzibar, Balozi Kumar Praveen, aliyefika Ikulu kwa ajili ya kuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini, leo tarehe 14 Mei 2026, alipokutana Ikulu Zanzibar.