“SUZA” kuhamia katika kampasi yake ya Tunguu kumesaidia kujipanga na kuweka mazingira mazuri ya kazi

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imeeleza kuwa kuhamia kwa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) katika kampasi ya Tunguu kumesaidia sana katika kukiwezesha chuo hicho kujipanua na kuwa…

Read More

Dk.Shein akutana na Uongozi wa Wizara ya Biashara,Viwanda na Masoko

WIZARA ya Biashara, Viwanda na Masoko imeeleza kuwa kulingana na taarifa za mwenendo wa hali ya chakula ambazo hukusanywa na Wizara hiyo kila mwezi hali ya chakula imeendelea kuwa nzuri hapa…

Read More

Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati,itahakikisha inatoa huduma bora kwa wananchi

Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati imeeleza mikakati yake katika kuhakikisha malengo iliyojiwekea yanafikiwa kikamilifu kwa mashirikiano ya pamoja ili kutoa huduma zilizo bora kwa wananchi.Maelezo…

Read More

Tatizo la upungufu wa dawa katika hospitali za Serikali litapatiwa ufumbuzi muda mfupi ujao

WIZARA ya Afya imeeleza azma yake ya kuhakikisha tatizo la upungufu wa dawa katika hospitali zote za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar linapatiwa ufumbuzi wa haraka kwa muda mfupi ujao Maelezo hayo…

Read More

Dk.Shein amemuapisha Jaji wa Mahkama Kuu Mhe. Adulhakim Ameir Issa kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amewaapisha Jaji wa Mahkama Kuu Mhe. Adulhakim Ameir Issa kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar

Read More

Dk.Shein amewatumia salamu za pongezi viongozi wa nchi za (UAE),kwa kutumiza miaka 41 yaTaifa hilo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewatumia salamu za pongezi viongozi wa nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), kwa kutimiza miaka 41 ya Taifa hilo.

Read More

Wafanyabiashara naWenyeviwanda nchini Vietnam wametakiwa kushirikiana naZanzibar katika sekta husika

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein ametoa wito kwa Jumuiya ya Wafanyabiashara na Wenyeviwanda nchini Vietnam kushirikiana na Zanzibar katika sekta…

Read More

Dk.Shein ametembelea Taasisi ya Utafiti wa Ufugaji wa Samaki mjini Hanoi,

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein ametembelea Taasisi ya Utafiti wa Ufugaji wa Samaki mjini Hanoi, Vietnam na kueleza kuwa Serikali ya Mapinduzi…

Read More