Media

Dk. Hussein Ali Mwinyi amelipongeza Shirika la Fedha Duniani (IMF), kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha uchumi wake.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amelipongeza Shirika la Fedha Duniani (IMF), kwa kuendelea kuinga mkono Zanzibar katika kuimarisha uchumi wake.Rais…

Read More

Rais wa Zanzibar na MB LM Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Chakula Duniani Nchini Tanzania Bi.Sarah Gordon-Gibson Ikulu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameipongeza mikakati na mipango iliyowekwa na Shirika la Chakula Duniani (WFP), kwa ajili ya kusaidia maendeleo ya…

Read More

Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amewanasihi wananchi kuendeleza utiifu na tabia njema walizokuwa nazo katika kipindi chote cha mwezi wa Ramadhani

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amewanasihi wananchi kuendeleza utiifu na tabia njema walizokuwa nazo katika kipindi chote cha mwezi wa Ramadhani…

Read More