Media

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wanaCCM kuhakikisha wanawachagua viongozi makini katika chaguzi za Mashina

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wanaCCM kuhakikisha wanawachagua viongozi makini katika chaguzi za Mashina zilizoanza rasmin kwani hao ndio…

Read More

Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amewashukuru wananchi wenye uwezo mbao wamejitolea kuwasaidia wananchi maskini na wale wanaoishi katika mazingira magumu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amewashukuru wananchi wenye uwezo mbao wamejitolea kuwasaidia wananchi maskini na wale wanaoishi katika mazingira…

Read More

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi amewanasihi waumini wa Dini ya Kiislamu kuendelea kuimarisha ibada pamoja na kutoa sadaka kwa wingi katika mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani.

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi amewanasihi waumini wa Dini ya Kiislamu kuendelea kuimarisha ibada pamoja na kutoa sadaka kwa wingi katika mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani hasa katika…

Read More