News and Events

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa mradi wa kuimarisha Elimu ya Sekondari wa kuwajengea uwezo wa masomo ya Sayansi, Hisabati na Kiingereza walimu unakwenda sambamba na mikakati ya Serikali

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa mradi wa kuimarisha Elimu ya Sekondari wa kuwajengea uwezo wa masomo ya Sayansi, Hisabati na Kiingereza…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amelipongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kwa kuendelea kusimamia ulinzi na usalama hapa nchini.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amelipongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kwa kuendelea kusimamia ulinzi na usalama hapa nchini.Rais…

Read More

Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Serikali itatoa tamko kuifanya siku ya mwaka mpya wa kiislamu kuwa ya mapumziko

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Serikali itatoa tamko kuifanya siku ya mwaka mpya wa kiislamu kuwa ya mapumziko.Alhaj D. Mwinyi…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amekamilisha ziara yake katika Wilaya zote za Unguja na Pemba na kueleza jinsi alivyoridhika na hatua iliyofikiwa katika miradi mbali mbali ya maendeleo aliyoitembelea.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amekamilisha ziara yake katika Wilaya zote za Unguja na Pemba na kueleza jinsi alivyoridhika na hatua iliyofikiwa…

Read More

MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akiongoza matembezi ya mazoezi ya viungo ya Kilimota 5 yaliyoazia viwanja vya Kinyasini

MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akiongoza matembezi ya mazoezi ya viungo ya Kilimota 5 yaliyoazia katika viwanja…

Read More

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi amewasisitiza wazazi kuwalinda, kuwasikiliza na kuwa karibu na watoto wao ili kuwakinga na janga la udhalilishaji.

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi amewasisitiza wazazi kuwalinda, kuwasikiliza na kuwa karibu na watoto wao ili kuwakinga na janga la udhalilishaji. Mama Mariam Mwinyi aliyasema hayo…

Read More