RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambae pia ni Kamanda Mkuu wa Idara za SMZ Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya mwanafunzi bora wa kutunga shabaha Ofisa Mpya wa Chuo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambae pia ni Kamanda Mkuu wa Idara za SMZ Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya mwanafunzi bora wa kutunga shabaha Ofisa Mpya wa Chuo cha Uongozi cha JKU Dunga Wilaya ya Kati Unguja, Ramadhan Abdallah Mohammed, wakati wa hafla ya ufungaji wa mafunzo ya Sita ya Chuo hicho kwa Maofisa wa JKU na KVZ,yaliyofanyika leo 26-6-2025