Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkurugenzi Mpya, Mkaazi wa Benki ya Dunia Kanda ya Tanzania, Malawi, Zimbabwe na Zambia Bw. Firas Raad
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkurugenzi Mpya, Mkaazi wa Benki ya Dunia Kanda ya Tanzania, Malawi, Zimbabwe na Zambia Bw. Firas Raad, aliyefika Ikulu, Zanzibar kujitambulisha baada ya kuchukuwa nafasi iliyoachwa wazi na Bw. Nathan Belete, aliyemaliza muda wake wa kazi.