Toggle navigation
Leave this field blank
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
Home
President's Office
Overview
Vision & Mission
President
Past Presidents
Administration
Revolutionary Council
Office of the President
Media
News and Events
Speeches and Statements
Press Releases
Photos
Videos
Videos 2
Publications
Speeches
Action Plans
Publications
Reports
Budgets
Blog
Contact Us
Ikulu
State House Zanzibar
State House Zanzibar
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa soko la kisasa la mboga mboga liliopo Mombasa Wilaya ya Magharib "A" Mkoa wa Mjini Magharib Unguja leo tarehe 4 Januari 2026
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiondoa pazia kuashiria uzinduzi wa Soko la Kisasa la mbogamboga lililopo maeneo ya Mombasa Mkoa wa Mjini Magharibi leo tarehe 04 Januari, 2026.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiondoa Pazia kuashiria ufunguzi rasmi wa Barabara ya Kitope–Ndagaa–Kidimni na kusisitiza kuwa ujenzi wa miundombinu ya barabara ni kichocheo kikubwa cha maendeleo ya kiuchumi nchini.
Media
News and Events
Rais Dkt. Mwinyi akiondoa kipazia kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la Mradi wa Ujenzi wa Daraja la Uzi Ng’ambwa pamoja na barabara zake, katika hafla iliyofanyika Uzi Ng’ambwa, Mkoa wa Kusini Unguja. Hafla hiyo ni sehemu ya shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, pamoja na Mkewe Mama Mariyam Mwinyi wakishiriki katika Bonanza la 16 la Mazoezi ya Viungo lililoandaliwa na Chama cha Mazoezi ya Viungo Zanzibar (ZABESA), lililofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex, Mkoa wa Mjini Magharibi. Bonanza hilo limehusisha vikundi 165 vya mazoezi kutoka vilabu 25 vya Pemba, 100 vya Unguja na 40 kutoka Tanzania Bara, likiwa na washiriki zaidi ya 500.
President
H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi
President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa soko la kisasa la mboga mboga liliopo Mombasa Wilaya ya Magharib “B” Mkoa wa Mjini
04 Jan 2026
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiondoa pazia kuashiria uzinduzi wa Soko la Kisasa la mbogamboga lililopo maeneo ya Mombasa Mkoa wa Mjini Magharibi le
04 Jan 2026
by Ikulu Staff
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuendelea kujenga Masoko ya kisasa katika kuimarisha Biashara Zanzibar.
04 Jan 2026
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiondoa Pazia kuashiria ufunguzi rasmi wa Barabara ya Kitope–Ndagaa–Kidimni na kusisitiza kuwa ujenzi wa miundombi
03 Jan 2026
by Ikulu Staff
More News and Events
Videos
Facebook
Publications
Risala ya Rais wa Zanzibar na MBLM Mhe: Dk.Hussein Ali Mwinyi kuuaga mwaka wa 2025 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026
31 Dec 2025
Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Manaibu Makatibu Wakuu
15 Dec 2025
Dk.Mwinyi amewateua Makatibu Wakuu pamoja na Manaibu Makatibu Wakuu
21 Nov 2025
Hotuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Hussein Ali Mwinyi katika uzinduzi wa Baraza la Kumi na Moja (11) la Wawakilishi 10 Novemba, 2025
10 Nov 2025
English
Swahili