Dk. Hussein Ali Mwinyi amezitaka Jumuiya za Chama hicho kujijenga kwa nguvu za kiuchumi ili zitekeleze majukumu yao kwa ufanisi mkubwa

MAKAMO Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amezitaka Jumuiya za Chama hicho kujijenga kwa nguvu za kiuchumi…

Read More

Dk. Hussein Mwinyi jana usiku alijumuika na wananchi na viongozi mbalimbali wa chama na serikali kwenye taarabu rasmi ya maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi jana usiku alijumuika na wananchi na viongozi mbalimbali wa chama na serikali kwenye taarabu rasmi ya maadhimisho ya…

Read More

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imejipanga vizuri kuiletea mabadiliko makubwa sekta ya Elimu visiwani ili kuongeza ufaulu kwa wanafuzi wengi

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imejipanga vizuri kuiletea mabadiliko makubwa sekta ya Elimu visiwani ili kuongeza ufaulu kwa wanafuzi wengi. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza…

Read More