RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, wakishuhudia Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michez
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, wakishuhudia Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe.Tabia Maulid Mwita akimkabidhi zawadi Mfungaji Bora wa Michuano ya 17 Kombe la Mapinduzi Cup 2023 kutoka Timu ya Singida Big Stares. Fancy Kazadi,baada ya kumalizika kwa mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup, kati ya Mlandege na Singida uliofanyika Uwanja wa Amaan Unguja