State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Mnadhimu Mkuu wa Jwtz Ikulu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi leo amewaapisha Viongozi aliowateuwa.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam Katika Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad S.A.W.

Makamu Mwenyekiti wa CC y Zanzibar Mhe,Dk Ali Mohamed Shein ameongoza Kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar Afisi Kuu Ya CCM.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameyafunga Mafunzo ya Sajini (Sgt) Chuo Cha Maafisa wa Polisi Kidatu Morogoro.