State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ametembelea eneo la Ujenzi wa Bandari ya Kisasa Mwangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Mke wa Rais Wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi ametoa Mkono wa Eid El Fitry kwa watoto wa Kijiji cha SOS na watoto wa nyumba ya watoto Mazizini Unguja.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akitoa Mkono wa Eid El Fitry kwa Wananchi waliofika Ikulu jijini Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akilihutubia Baraza la Eid El Fitry katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam katika sala ya Eid El Fitry iIliofanyika katika viwanja vya Maisara Zanzibar.