State House Blog

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba katika Futari aliyowaandalia katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi, Wete, Pemba.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewasili Kisiwani Pemba kwa ziara ya siku mbili

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amefungua Masjid Nuurul Yaqiin katika kijiji kipya cha Dundua Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja katika Futari aliyowaandalia katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika Futari aliyowaandalia ukumbi wa Suza