State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza anayeshuhulikia Afrika Ikulu jijini Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amezungumza na Waziri Wa Nchi Ofisi Ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Tanzania.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi ameufungua msikiti wa Shifaa Muembetanga Jijini Zanzibar na kujumuika katika sala ya Ijumaa

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekabodhiwa Mpango wa Ujenzi wa Bandari ya Mwangapwani Zanzibar (Mster Plan)

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika katika Futari maalum aliyowaandalia wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.