State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amefungua Mkutano wa wadau wa kujadili masuala mahsusi ya Zanzibar yanayohusu Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi ameshiriki Uchaguzi wa CCM wa Viongozi wa Ngazi ya Wilaya ya Amani Kichama tarehe 2-10-2022.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amefungua Mskiti wa Masjid Noorul Qadiriya Kandwi na kujumuika katika Sala ya Ijumaa

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Dkt.Charlotte Hawkins Ikulu Zanzibar.

Mke wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi amewaongoza wanamichezo na vikundi vya mazoezi ya viungo katika viwanja vya Mpira Dole Unguja.