State House Blog

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi ambae ni Mlezi wa Matembezi hayo ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM)

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameweka jiwe la Msingi Kiwanda cha Maji Pemba ikiwa ni shamra shamra za Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza vikundi vya mazoezi katika maadhimosho ya kitaifa ya mazoezi ya viungo vya pamoja uwanja wa Amaan Zanzibar.

Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar Suza Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amehudhuria Mahafali ya 17 ya Chuo hicho.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaapisha Wajumbe wapya wa Tume ya Mipango Zanzibar katika Ukumbi wa Ikulu.