Rais Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Uongozi wa Afrika College of Insuarance & Social Protection
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza Mwenyekiti Mtendaji wa Afrika College Of Insuarance & Social Protection Dr.Baghayo A.Saqware (wa pili kulia) akiwa na ujumbe wa Uongozi wa Chuo hicho walipofika kujitambulisha Ikulu Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa pili kulia) alipokuwa akiagana na Viongozi wa Chuo cha Afrika College Of Insuarance & Social Protection uliongozwa na Mwenyekiti Mtendaji wa Afrika College Of Insuarance & Social Protection Dr.Baghayo A.Saqware (kulia) mara baada ya mazungumzo na kujitambulisha walipofika Ikulu Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza Mwenyekiti Mtendaji wa Dr.Baghayo A.Saqware (wa pili kulia) akiwa na ujumbe wa Uongozi wa Chuo hicho walipofika kujitambulisha Ikulu Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akisitiza jambo wakati wa mazungumzo na ujumbe wa Uongozi wa Chuo cha Afrika College Of Insuarance & Social Protection unaoongozwa na Mwenyekiti Mtendaji wa Afrika College Of Insuarance & Social Protection Dr.Baghayo A.Saqware (wa pili kulia) walipofika kujitambulisha Ikulu Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi katika Maulidi ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali na wa Kampuni ya Vigor, wakati akiwasili katika viwanja vya Kiwanda cha Zainab Bottles Mombasa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja kuhudhuria Maulid ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad ( S.A.W) yaliyofanyika jana usiku,26-10-2021
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa Maulid ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika katika viwanja vya Kiwanda cha Zainab Bottles Mombasa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.
USTADH. Abdulrahaman Mwinyi Dedes Barzanj Mlango wan ne wakati wa Maulid ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika katika viwanja vya Kiwanda cha Zainab Bottles Mombasa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, yalioandaliwa na kampuni ya Vigor A Turky’s Companies
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ya ufunguzi wa Maulid ya kuadhimisha Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) ikisomwa na Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi na Bw. Multaza Turky na (kushoto kwa Rais) Mhe Toufiq Turky Mwenyekiti wa Makampuni ya Vigor A Turky Group, wakitikia dua,hafla hiyo imefanyika katika kiwanda cha Zainab Bottles Mombasa Wilaya ya Magharibi “B”Unguja jana usiku 26-10-2021.
USTADH Sayyid Abdulrahaman Al Habshy akisoma Quran Suratul Yasin wakati wa hafla ya Maulid ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yalioandaliwa na Kampuni ya ‘Vigor A Turky Group of Companies’yaliofanyika jana usiku 26-10-2021 katika viwanja vya kiwanda cha Zainab Bottles Mombasa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kufanya Mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe Evariste Ndayishimiye.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye, alipowasili Ikulu Zanzibar kwa mazungimzo akiwa Zanzibar kwa ziara ya Siku moja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiya, wakiwa katika ukumbi wa Ikulu wakati ukipingwa wimbo wa Taifa wa Burundi, Zanzibar, Tanzania na wa Afrika Mashariki, kabla ya kuaza kwa mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 23-10-2021, akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akwa katika mazungumzo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe Evariste Ndayishimiye.(kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar, wakati wa ziara yake ya Siku moja Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongozana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe Evariste Ndayishimiye,baada ya kumalizika kwa hafla ya chakula maalum cha mchana alichomuandalia mgeni wake katika viwanja vya Ikulu Zanzibar, akiwa Zanzibar kwa ziara ya Siku moja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akwa katika mazungumzo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe Evariste Ndayishimiye.(kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar, wakati wa ziara yake ya Siku moja Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya Mlango wa Zanzibar,mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe Evariste Ndayishimiye, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar,akiwa Zanzibar kwa ziara ya Siku moja.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akimkabidhi zawadi ya Kasha Mke wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Mama Angeline Ndayishimiye,baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar,akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja na Mumewe Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongozana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe Evariste Ndayishimiye,baada ya kumalizika kwa hafla ya chakula maalum cha mchana alichomuandalia mgeni wake katika viwanja vya Ikulu Zanzibar, akiwa Zanzibar kwa ziara ya Siku moja.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akikabidhiwa zawadi Maalum na Mke wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Mama Angeline Ndayishimiye, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar,akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja na Mumewe Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye.(hayupo pichani).
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya Mlango wa Zanzibar,mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe Evariste Ndayishimiye, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar,akiwa Zanzibar kwa ziara ya Siku moja.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akikabidhiwa zawadi Maalum na Mke wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Mama Angeline Ndayishimiye,baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar,akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja na Mumewe Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye.(hayupo pichani)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akimkabidhi zawadi ya Kasha Mke wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Mama Angeline Ndayishimiye,baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar, akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja na Mumewe Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye.(hayupo pichani).
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akizungumza na Mke wa Rais wa Jamhuri ya Burundi Mama **Angeline Ndayishimiye (kulia kwake) wakiwa katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar wakati wa ziara ya siku moja ya Rais wa Jamhuri ya Burundi Zanzibar.
Ufunguzi wa Ijitimai ya Kimataifa Kijiji cha Kidoti Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi(kulia) alipokuwa akiwapungia mkono waumini wa Dini ya Kiislamu baada ya kutoa hutuba yake ya ufunguzi wa Ijitimai ya Kimataifa aliyoifungua leo katika Masjid Fiysabillah Tabligh Markaz Zanzibar Kidoti Wilaya ya Kaskazini "A" Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa Ijitimai ya Kimataifa leo kwa waumini wa Dini ya Kiislamu (hawapo pichani) inayofanyika katika Masjid Fiysabillah Tabligh Markaz Zanzibar,Kidoti Wilaya ya Kaskazini "A" Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia aliyesimama) alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa Ijitimai ya Kimataifa kwa waumini wa Dini ya Kiislamu inayofanyika katika Masjid Fiysabillah Tabligh Markaz Zanzibar,Kidoti Wilaya ya Kaskazini "A" Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Waumini wa Dini ya Kiislamu na Wananchi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa Ijitimai ya Kimataifa aliyoifungua katika Masjid Fiysabillah Tabligh Markaz Zanzibar,Kidoti Wilaya ya Kaskazini "A" Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Waumini wa Dini ya Kiislamu na Wananchi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa Ijitimai ya Kimataifa aliyoifungua katika Masjid Fiysabillah Tabligh Markaz Zanzibar,Kidoti Wilaya ya Kaskazini "A"
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Dini alipowasili katika Masjid Fiysabilillahi Tabligh Markaz Zanzibar Kidoti Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa ajili ya ufunguzi wa Ijitimai ya Kimataifa 2021, inayofanyika leo 22-10-2021, katika Markaz hiyo na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe Ayoub Mohammed Mahmoud
Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Wakurugenzi Wakuu wa Mifuko ya Huduma Tanzania
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(katikati) akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na Wakurugenzi Wakuu wa Mifuko ya Hifadhi ya Huduma za jamii Tanzania Bara na Zanzibar (kushoto pichani) walipofika kusalimiana nae Ikulu jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na Wakurugenzi Wakuu wa Mifuko ya Hifadhi ya Huduma za jamii Tanzania Bara na Zanzibar (kushoto pichani) walipofika kusalimiana nae Ikulu jijini Zanzibar.