Dk.Shein amezungumza Waziri wa Kilimo na masuala ya rdhi wa Misri Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waziri wa Kilimo na Masuala ya Ardhi wa Jamuhuri ya Kiarabu wa Watu wa Misri.Dkt.Ezzaldin O.Abusteit, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzi, akiongozana na Ujumbe wake na kulia Balozi wa Misri Nchini Tanzania Mhe. Gaber Mohamed.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiongozana na mgeni wake Waziri wa Kilimo na Masuala ya Ardhi Jamuhuri ya Kiarabu ya Watu wa Misri.Dkt. Ezzaldin O.Abusteit,wakitoka katika ukumbi baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Zanzibar.3-2-2019.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waziri wa Kilimo na Masuala ya Ardhi wa Jamuhuri ya Watu wa Misri. Dkt. Ezzaldin.O.Abusteit, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na Rais Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na mgeni wake Waziri wa Kilimo na Masuala ya Ardhi wa Jamuhuri ya Kiaranu ya Watu wa Misri Dkt. Ezzaldin .O. Abusteit, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Zanzibar. 3-2-2019, anayefuata Balozi wa Misri Nchini Tanzania Mhe. Gaber Mohamed.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waziri wa Kilimo na Masuala ya Ardhi wa Jamuhuri ya Kiarabu wa Watu wa Misri, Dkt.Ezzaldin O.Abusteit.
Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar uwanja wa Gombani Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mkuu wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar,Brigedia Jenerali Fadhil Omar Nondo, alipowasili katika viwanja vya Gombani Kisiwani Pemba, kuhudhguria Maadhimisho ya Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
/RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akipokea saluti ya Gwaride rasmin la maadhimisho ya Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar, yaliofadhimishwa kisiwani Pemba katika Uwanja wa Gombani.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwapungua Mkono Wananchi akiwa katika gari Maalum ya Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ, wakati akiingia katika Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba kuhudhuria Maadhimisho ya Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar, akiwa pamoja na Mkuu wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar, Brigedia Jenerali Fadhil Omar Nondo.
KIKOSI cha Bendera cha JWTZ kikipita mbele ya Mgeni Rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, wakitowa heshima kwa mwendo wa Pole wakati wa bwaeride la kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar zilizofanyika katika Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Ali Mohamed Shein, akikagua Gwaride rasmin la Sherehe za Mapinduzi katika kikosi cha Polisi (FFU) kwa kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar zilizofanyika katika Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Ali Mohamed Shein, akikagua Gwaride rasmin la Sherehe za Mapinduzi kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar zilizofanyika katika Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Ali Mohamed Shein, akikagua Gwaride rasmin la Sherehe za Mapinduzi kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar zilizofanyika katika Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Ndg.Phillip Mangula, alipowasili Jukwaa kuu baada ya kukagua gwaride rasmin la sherehe za Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilizofanyika Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Rais Mstaaf wa Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume, alipowasili jukwaa kuu la Viongozi baada ya kumaliza kukagua gwaride rasmin la sherehe za Mapinduzi katika Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akiwa katika Jukwaa Kuu akizungumza na Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.na Viongozi wa Serikal na Vyombo vya Ulinzi na Usalama
VIJANA wa Payunia wakipita mbele ya Mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein,wakitowa heshima, wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar, yalioadhimishwa katika uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwapungia Wananchi wakipita katika jukwaa kuu kwa maandamano maalum yalioandaliwa kwa ajilin ya kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
VIJANA wa Payunia wakipita mbele ya Mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein,wakitowa heshima, wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar, yalioadhimishwa katika uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba.
VIJANA wa CCM wakipita mbele ya Jukwaa Kuu la Mgeni Rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi wakiwa katika maandamano wamebeba picha za Viongozi.(Picha na Ikulu)
WANANCHI wakipita katika jukwaa kuu wakiwa na ngoma ya beni wakati wa maadhimisho ya Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Ali Mohamed Shein, akikagua Gwaride rasmi la Sherehe za Mapinduzi kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar zilizofanyika katika Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba.
/KIKOSI cha JWTZ wakitowa heshima kwa mwendo wa polepole wakitowa heshima mbele ya Mgeni Rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein.(Picha na Ikulu)
KIKOSI cha Askari wa FFU wakipita kwa mwendo wa pole mbele ya mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Dk. Ali Mohamed Shein
GADI ya kwanza ya Gwaride rasmin la kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar wakipita kwa mwendo wa Pole mbele ya jukwaa la Mgeni Rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein.
ASKARI wa Chuo cha Mafunzo wakipita kwa mwendo wa kasi wakitowa heshima jukwaa kuu, wakati wa Maadhimisho ya Miaka 55 ya Mapinduzi ya
ASKARI wa Chuo cha Mafunzo wakipita kwa mwendo wa kasi wakitowa heshima jukwaa kuu, wakati wa Maadhimisho ya Miaka 55 ya Mapinduzi ya
ASKARI wa Kikosi cha KMKM wakitowa heshima wakati wakipita Jukwaa Kuu Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba wakati wa gwaride la Maadhimisho ya Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
ASKARI wa Kikosi cha JKU wakitowa heshima kwa mwendo wa Kasi mbele ya Mgeni Tasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein.
KIKOSI cha Jeshi la Polisi Wanawake wakitowa heshima wakati wakipita jukwaa kuu Uwanja wa Gombani Pemba
Dk.Shein amewasili Kisiwani Pemba kuhudhuria Sherehe za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar Kitaifa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Hemed Suleiman Abdallah, alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Karume Kisiwani Pemba,kwa ajili ya kuhudhuria Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar zinazotarajiwa kufanyika tarehe 12/1/2019, katika Uwanja wa Gombani Pemba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Viongozi wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Kisiwani Pemba, baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Karume Mjini Chake chake Kisiwani Pemba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Hemed Suleiman Abdallah, baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Karume Chake chake Kisiwani Pemba, akielekea katika chumba cha VIP.
Dk.Shein ametunuku Nishani ya Mapinduzi,Utumishi uliotukuka na Nishani ya Ushujaa.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa ameshimama wakati ukipigwa wimbo la Taifa baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu Zanzibar, kwa ajili ya Kutunuku Nishani za Mapinduzi kwa Viongozi na Wananchi kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mkuu wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar Brigedia Jenerali Fadhil Nondo, baada ya kumaliza hafla ya Kutunuku Nishani za Mapinduzi na Uongozi Uliotukuka, kushoto Katika Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiteta na Rais Mstaaf wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Mzee. Ali Hassan Mwinyi, wakiwa katika viwanja vya Ikulu Zanzibar, wakati wa hafla ya kutunuku kwa Nishani za Mapinduzi na Uongozi Uliotukuka.
RAIS Mstaaf wa Tanzania Awamu ya Pili Mhe. Ali Hassan Mwinyi , akisalimiana na Mke wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume, Mama Fatma Karume, alipowasili katika viwanja vya Ikulu mjini Zanzibar, kuhudhuria hafla ya kutunukiwa Nishani Viongozi na Wananchi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisoma kitabu cha Orodha ya Viongozi na Wananchi wanaotunukiwa Nishani katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
BAADHI ya Viongozi wa Serikali wakiwa wamesimama wakati ukipigwa Wimbo wa Taifa katika viwanja vya Ikulu Zanzibar,wa kwanza Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja. Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud,Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu, Rais Mstaaf wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi, Mama Fatma Karume na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Mhe Zuberi Ali Maulid.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimtunuku Nishani ya Mapinduzi kwa Viongozi Mhe. Omar Ramadhan Mapuri, hafla hiyo ya kutunuku Nishani ilifanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimtunuku Nishani ya Ushujaa ya kujitolea kupiga mbizi katika pango la maji dimani kuchukua sampu ya mchanga ili kuweza kupata wingi wa maji Ndg. Ali Ameir Mwalim, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimtunuku Nishaji ya Utumishi Uliotukuka Mwakilishi wa Marehemu Mussa Haji Foum, alikuwa Mwandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali vya Redio. akipokea kwa niaba ya Familia Mtoto wa Marehemu Bi.Inat Mussa Haji, hafla hiyo imefanyika katika Viwanja vya Ikulu mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimtunuku Nishani ya Ushujaa Mwananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja Ndg. Muhammad Haji Muhammad, kwa ujasiri aliouonesha kumuokoa mwananchi aliyeingia katika kisiwa na kumuokoa akiwa hai.hafla hiyo ya kutunuku Nishani za Mapinduzi ilifanyika katika viwanja vya Ikulu mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimtunuku Nishaji ya Vikundi vya Uhamasishaji wa Bendi ya Safari Trippers ya Marehemu Marijan Rajab, akipokea Mwakilishi wa Familia Ndg Ismail Issa Michuzi, alikuwa Katibu na Mpiga Trumpet Dar International, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Ikulu mjini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Wananchi waliotunukiwa Nishani ya Mapinduzi na Uongozi Uliotukuku, baada ya hafla ya kukabidhiwa Nishani hizo katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi na Wawakilishi wa Familia za Marehemu waliowakilisha katika kupokea Nishani kwa niaba ya familia.
Baadhi ya Viongozi Wastaaf na Wawakilishi wa Marehemu wakiwa katika viwanja vya Ikulu Zanzibar wakisubiri kutunukia Nishani za Mapinduzi na Utumishi Uliotukuka
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi na Wawakilishi wa Familia za Marehemu waliowakilisha katika kupokea Nishani kwa niaba ya familia.
BAADHI ya Wananchi na Viongozi Wastaaf waliotunikiwa Nishani ya Mapinduzi na UYongozi Uliotukuka wakitoka katika viwanja vya Ikulu Zanzibar baada ya kumalizika kwa hafla hiyo ya kutunukiwa Nishani na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein.
BENDI ya Brassband ya Jeshi la Polisi Zanzibar ikitowa burudani wakati wa hafla ya Utuaji wa Nishaji ya Mapinduzi na Uongozi Uliotukuka,katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
Rais wa zanzibar Dk.Shein amefungu Skuli ya Sekondari na Msingi Bwefum.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akikata utepe kuashiria kuifungua Skuli ya Sekondari na Msingi ya Bwefum Wilaya ya Magharibi B Unguja kulia Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud na kushoto Waziri wa Elimu na Mafunzio ya Amali Zanzibar Mhe. Rizi Pembe Juma,Skuli hiyo imejengwa na Kampuni ya Union Property Developers Ltd, ikiwa ni shamra shamra za kuadhimisha miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma, wakati Rais wa Zanzibar akitembelea moja ya Madarasa hayo alipotembelea baada ya kuifungua rasmin Skuli hiyo, ikiwa ni shamrashamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa ufunguzi wa Skuli ya Kisasa ya Sekondari na Msingi ya Bwefum, Wilaya ya Magharibi B Unguja, ikiwa ni shamrashamra za kuadhimisha miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
WANAFUNZI wa Skuli ya Msingi Bwefum Wilaya ya Magharibi B Unguja Masoud Mussa, Naifat Makame na Suleiman Sapu, wakiimba wimbo wa "Sisi Sote Tumegomboka " wakati wa hafla ya Ufunguzi wa Skuli yao,iliofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,. Dk. Ali Mohamed Shein, Skuli hiyo imejengwa na Kampuni ya Union Property Developers Ltd
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma akizungumza kabla ya kumkaribisha Mgeni Rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, kuwahutubia Wananchi na kuifungua rasmin Skuli hiyo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein,akimsikiliza Mkandarasi aliyejenga Majengo ya Skuli hiyo kutoka Kampuni ya Ujenzi ya Quality Bulding Contractors Ltd. Mkurugenzi ,Mtendaji Ndg. Shaib Said Ali, akitowa maelezo ya Majenzo ya Skuli hiyo yaliotengenezwa na Mwanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Bwefum Kidatu chaTatu Khamis Masoud