Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar Zubeir Ali Maulid na Spika wa Bunge la Kenya pia Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji Chama cha Mabunge Justin Maturi (katikati) wakiongozwa na Mpambe Mwinyi Haji Abu(mwenye Siwa) wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) akiingia katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahar Mbweni Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar kufungua Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola kwa Kanda ya Afrika
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) **Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai (kulia) Spika wa Bunge la Kenya pia Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji Chama cha Mabunge Justin Moturi (katikati) Spika wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar Zubeir Ali Maulid (wa pili kushoto) ** na Spika wa Bunge la Uganda Rebecca Alitwala Kadaga wakisimama wakati Wimbo wa Taifa wa Ukipigwa katika ufunguzi wa Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola kwa Kanda ya Afrika uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahar Mbweni Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar
BAADHI ya Wajumbe wa Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola kwa Kanda ya Afrika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahar Mbweni Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi rasmi wa Mkutano huo unaofanyika Hotelini hapo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola kwa Kanda ya Afrika unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahar Mbweni Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
BAADHI ya Wajumbe wa Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola kwa Kanda ya Afrika wakiwa katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahar Mbweni Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar uliofunguliwa rasmi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa Mkutano wa 50 wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola kwa Kanda ya Afrika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahar Mbweni Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar
Dk.Shein amezungumza na Uongozi wa Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar ,wakati wa mkutano wa Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi wa Wizara hiyo juzi mwezi wa Julai 2018 hadi Juni 2019, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Zanzibar , kushoto kwa Rais Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi na kulia kwa Rais Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dk. Abdulhamid Yahya Mzee
MSHAURI wa Rais Pemba Mhe.Dk. Maua Abeid Daftari akizingumza wakati wa mkutano wa Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi wa Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar uliofanyika ukumbi wa Ikulu Zanzibar,ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein. Hayupo pichani.
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi akizungumza wakati wa mkutano wa Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi wa Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar kwa mwezi Julai 2018 hadi Juni 2019,uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar Bi. Khadija Khamis Rajab wa kwanza kushoto akisoma taarifa ya Utekelezaji Bajeti na Mpango Kazi ya Wizara yake kwa mwezi wa Julai 2018 hadi Juni 2018, wakati wa mkutano huo uliofanyika Ukumbi wa Ikulu Zanzibar ukiongozwa na Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.
WAZIRI wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Balozi Amina Salum Ali akiwasirisha mutasari wa Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi wa Wizara yake kwa mwezi wa Julai 2018 hadi Juni 2019, kulia Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Abdulhamid Yahya Mzee na kushoto Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Hassan Khamis Hafidh, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Zanzibar ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, hayupo pichani.
MKURUGENZI wa Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) Ndg .Khatib Mwadin akijibu swali wakati wa mkutano wa Utekelezaji wa Bajeti ya Mpango Kazi kwa mwezi Julai 2018 hadi Juni 2019, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Zanzibar, ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, (hayupo pichani kulia Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Biashara Zanzibar (ZSTC) Dk. Said Seif Mzee
MKURUGENZI wa Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) Ndg .Khatib Mwadin akijibu swali wakati wa mkutano wa Utekelezaji wa Bajeti ya Mpango Kazi kwa mwezi Julai 2018 hadi Juni 2019, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Zanzibar, ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, (hayupo pichani kulia Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Biashara Zanzibar (ZSTC) Dk. Said Seif Mzee
BAADHI ya Watendaji wa Idara za Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar wakifuatilia taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi kwa Wizara yao kwa mwezi wa Julai 2018 hadi Juni 2019, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
Dk.Shein amekutana na Uongozi wa Wizara ya Afya.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Bi.Asha Ali Abdalla (katikati) alipokuwa akisoma wa utekelezaji wa malengo ya mpango kazi kwa kipindi cha Julai 2018-Juni 2019 na mpango kazi wa mwaka 2019-2020 wa Wizara hiyo uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,(kushoto) Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Naibu Katibu Mkuu Bi.Halima Maulid Salum(kulia)
Mkurugenzi Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dk.Jamala Adam Taib (kulia) alipokuwa akichangia katika mkutano wa utekelezaji wa malengo ya mpango kazi kwa kipindi cha Julai 2018-Juni 2019 na mpango kazi wa mwaka 2019-2020 wa Wizara hiyo chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,Naibu Katibu Mkuu Bi.Halima Maulid Salum,(katikati) Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Bi.Asha Ali Abdalla
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Afya katika mkutano wa utekelezaji wa malengo ya mpango kazi kwa kipindi cha Julai 2018-Juni 2019 na mpango kazi wa mwaka 2019-2020 uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
Meneja wa Kitengo cha Maleria katika Wizara ya Afya Dk.Abdalla Suleiman Abdalla akitoa ufafanuzi kuhusu Maradhi ya maleria katika mkutano wa utekelezaji wa malengo ya mpango kazi kwa kipindi cha Julai 2018-Juni 2019 na mpango kazi wa mwaka 2019-2020 chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) ulichofanyika katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed (katikati) alipokuwa akisoma muhtasari wa utekelezaji wa malengo ya mpango kazi kwa kipindi cha Julai 2018-Juni 2019 na mpango kazi wa mwaka 2019-2020 wa Wizara hiyo uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,(kushoto) mshauri wa Waziri Dk.Mohamed Saleh Jidawi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abduhamid Yahya Mzee
Ufunguzi wa Hoteli ya Madinat Al Bahar Mbweni Zanzibar.
Baadhi ya Viongozi mbali mbali walioalikwa katika ufunguzi wa Hoteli ya Madinat Al Bahar wakiwa katika hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Hoteli hiyo iliyopo Mbweni Wilaya ya Magharibi (B).Mkoa wa Mjini Magharibi ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati waliokaa) akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Hoteli ya Madinat Al Bahar Bw Rustamali Merani Shivji (wa pili kulia) wakati alipotembelea sehemu mbali mbali za Hoteli hiyo mara baada ufunguzi rasmi uliofanyika leo, Mbweni Wilaya ya Magharibi (B).Mkoa wa Mjini Magharibi,(kushoto) Rais Mstaafu wa Zanzibar DK.Amani Abeid Karume na Waziri wa Fedha na Mipango Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa (wa pili kushoto).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa hafla ya ufunguzi wa Hoteli ya Madinat Al Bahar uliofanyika leo, Mbweni Wilaya ya Magharibi (B).Mkoa wa Mjini Magharibi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akifuatana na Mtendaji Mkuu wa Hoteli ya Madinat Al Bahar Bw Rustamali Merani Shivji wakati alipotembelea sehemu mbali mbali za Hoteli hiyo mara baada ufunguzi rasmi uliofanyika leo, Mbweni Wilaya ya Magharibi (B).Mkoa wa Mjini Magharibi
Dk.Shein amekutana na Uongozi wa Wizara ya Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati.
Baadhi ya Viongozi mbali mbali katika Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati wakiwa katika mkutano wa utekelezaji wa malengo ya mpango kazi kwa kipindi cha Julai 2018-Juni 2019 na mpango kazi wa mwaka 2019-2020 chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) kilichofanyika katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanziba
Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme Zanzibar Hassan Ali Mbarouk (kushoto) akitoa ufafanuzi kuhusu deni la Umeme la ZECO ambalo limefutwa na Kampuni ya TANESCO wakati wa mkutano wa utekelezaji wa malengo ya mpango kazi kwa kipindi cha Julai 2018-Juni 2019 na mpango kazi wa mwaka 2019-2020 chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) kilichofanyika katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati katika mkutano wa utekelezaji wa malengo ya mpango kazi kwa kipindi cha Julai 2018-Juni 2019 na mpango kazi wa mwaka 2019-2020 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati katika mkutano wa utekelezaji wa malengo ya mpango kazi kwa kipindi cha Julai 2018-Juni 2019 na mpango kazi wa mwaka 2019-2020 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
Mshauri wa Rais katika Wizara ya Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati Mhe,Burhani Saadat Haji (kushoto) akichangia wakati wa mkutano wa utekelezaji wa malengo ya mpango kazi kwa kipindi cha Julai 2018-Juni 2019 na mpango kazi wa mwaka 2019-2020 wa Wizara hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar, ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) Naibu wa Waziri wa Wizara hiyo Mhe,Juma Makungu Juma
Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dk. Abdulhamid Yahya Mzee,Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma na Mshauri wa Rais Pemba Mhe Maua Abeid Daftari, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dk. Abdulhamid Yahya Mzee, kulia Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma na Mshauri wa Rais Pemba Mhe Maua Abeid Daftari wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, hayupo pichani akingoza mkutano huo wa Utekelezaji wa Bajeti na na Mpango Kazi wa Wizara hiyo, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein akifungua Mkutano wa kujadili utekelezaji wa bajeti na Mpango Kazi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar kuanzia mwezi Julai 2018 hadi Juni 2019 na Uongozi wa Wizara hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar 21-8-2019. Kulia kwa Mhe.Rais ni Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dk. Abdulhamid Yahya Mzee, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Riziki Pembe Juma.
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu ya Mafunzo ya Amali Zanzibar Dk. Idrisa Muslim Hijja akiwasilisha Utekelezaji wa bajeti na Mpango Kazi wa Wizara yake kwa mwezi wa Julai 2018 hadi Juni 2019, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar, Ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein.
BAADHI ya Maofisa wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar,wakifuatilia Mkutano wa kupitia Utekelezaji wa bajeti na Mpango Kazi wa Wizara hiyo ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Riziki Pembe Juma akiwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa bajeti na Mpango Kazi wa Wizara yake kwa mwezi wa Julai 2018 hadi Juni 2019, wakati wa mkutano huo na Uongozi wa Wizara yake uliofanyika ukumbi wa Ikulu Zanzibar,
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein akifungua Mkutano wa kujadili utekelezaji wa bajeti na Mpango Kazi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar kuanzia mwezi Julai 2018 hadi Juni 2019 na Uongozi wa Wizara hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar 21-8-2019. Kulia kwa Mhe.Rais ni Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dk. Abdulhamid Yahya Mzee, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Riziki Pembe Juma