State House Blog

Dk.Shein amekutana na Rais wa Muungano wa Visiwa vya Commoro.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na mgeni wake Rais wa Muungano wa Visiwa vya Comoro Mhe. Azali Assoumani wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili ya kusalimiana.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na mgeni wake Rais wa Muungano wa Visiwa vya Comoro Mhe. Azali Assoumani wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili ya kusalimiana.

Uzinduzi wa mpangoshirikishi wa kutokomeza Kipindupindu Zanzibar.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(kushoto) akimkabidhi kitabu cha Mpango Waziri wa Afya Mhe.Hamad Rashid Mohamed mara baada ya kufanya Uzinduzi rasmi wa mpango shirikishi wa kutokomeza Kipindupindu Zanzibar katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Idris Abdulwakil Vuga Mjini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akikata Utepe wa Vitabu vya Mpango kama ishara ya Uzinduzi rasmi wa mpango shirikishi wa kutokomeza Kipindupindu Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Idris Abdulwakil Vuga Mjini Zanzibar (katikati) Waziri wa Afya Mhe.Hamad Rashid Mohamed
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti Rais wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa Hutuba ya Uzinduzi wa mpango shirikishi wa kutokomeza Kipindupindu Zanzibar katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Idris Abdulwakil Vuga Mjini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa (ZAWA) Mussa Ramadhan Haji (kulia)wakati alipotembelea maonesho katika Uzinduzi wa mpango shirikishi wa kutokomeza Kipindupindu Zanzibar hafla iliyofanyika katika viwanja vya ukumbi wa Idris Abdulwakil Vuga Mjini Zanzibar,(kushoto) Afisa Ufuatiliaji na Kampeni Ameir Muhidin Nahoda
  • Maafisa katika Idara za Serikali ya Mapinduzi na taasisi Binafsi wakiwa katika Uzinduzi wa mpango Shirikishi wa Kutokomeza Kipindupindu Zanzibar uliyofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani). katika ukumbi wa Idris Abdulwakil Vuga Mjini Zanzibar
  • Viongozi na Watendaji mbali mbali katika Serikai ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiwa katika Uzinduzi wa mpango Shirikishi wa Kutokomeza Kipindupindu Zanzibar hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Idris Abdulwakil Vuga Mjini Zanzibar,ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani).
  • Baadhi ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiwa katika Uzinduzi wa mpango shirikishi wa kutokomeza Kipindupindu Zanzibar hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Idris Abdulwakil Vuga Mjini Zanzibar,ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Afisa wa Maji na Usafi wa Mazingira UNICEF Bw.Marko Msambazi(katikati)wakati alipotembelea maonesho katika Uzinduzi wa mpango shirikishi wa kutokomeza Kipindupindu Zanzibar hafla iliyofanyika leo katika viwanja vya ukumbi wa Idris Abdulwakil Vuga Mjini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Idara ya Mazingira na Mamlaka ya usimamizi Mazingira Nd.Alawi Haji Hija (kushoto)wakati alipotembelea maonesho katika Uzinduzi wa mpango shirikishi wa kutokomeza Kipindupindu Zanzibar hafla iliyofanyika leo katika viwanja vya ukumbi wa Idris Abdulwakil Vuga Mjini Zanzibar.

Uzinduzi wa mpangoshirikishi wa kutokomeza Kipindupindu Zanzibar.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(kushoto) akimkabidhi kitabu cha Mpango Waziri wa Afya Mhe.Hamad Rashid Mohamed mara baada ya kufanya Uzinduzi rasmi wa mpango shirikishi wa kutokomeza Kipindupindu Zanzibar katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Idris Abdulwakil Vuga Mjini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akikata Utepe wa Vitabu vya Mpango kama ishara ya Uzinduzi rasmi wa mpango shirikishi wa kutokomeza Kipindupindu Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Idris Abdulwakil Vuga Mjini Zanzibar (katikati) Waziri wa Afya Mhe.Hamad Rashid Mohamed

Uzinduzi wa mpangoshirikishi wa kutokomeza Kipindupindu Zanzibar.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(kushoto) akimkabidhi kitabu cha Mpango Waziri wa Afya Mhe.Hamad Rashid Mohamed mara baada ya kufanya Uzinduzi rasmi wa mpango shirikishi wa kutokomeza Kipindupindu Zanzibar katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Idris Abdulwakil Vuga Mjini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akikata Utepe wa Vitabu vya Mpango kama ishara ya Uzinduzi rasmi wa mpango shirikishi wa kutokomeza Kipindupindu Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Idris Abdulwakil Vuga Mjini Zanzibar (katikati) Waziri wa Afya Mhe.Hamad Rashid Mohamed

Dk. Shein azungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti Rais wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Cuba Nchini Tanzania.Profesa Lucas Domingo Hemandez Polledo,alipofika Ikulu Zanzibar na Naibu Waziri wa Kwanza wa Wizara ya Mambo ya Nje Nchini Cuba. Mhe.Marcelino Medina Gonzelez,akiwa (katikati) hafla hiyo imefanyika 8,Septemba 2019 Ikulu Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti Rais wa Baraza la Ma;pinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Cuba Nchini Tanzania.Profesa Lucas Domingo Hemandez Polledo,alipofika Ikulu Zanzibar na Naibu Waziri wa Kwanza wa Wizara ya Mambo ya Nje Nchini Cuba. Mhe.Marcelino Medina Gonzelez,akiwa (katikati) hafla hiyo iliyofanyika 8,Septemba 2019 Ikulu Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na mgeni wake Naibu Waziri wa Kwanza wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba. Mhe. Marcelino Medina Gonzalez, wakitoka katika ukumbi wa Ikulu baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika 8,Septemba 2019
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika mazungumzo na mgeni wake, Naibu Waziri wa Kwanza wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba, Mhe.Marcelino Medina Gonzalez, kushoto Balozi Jamhuri ya Cuba Nchini Tanzania Profesa.Lucas Damingo Hemandez Polledo,hafla hiyo imefanyika leo 8,Septemba 2019, Ikulu Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Naibu Waziri wa Kwanza wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Cuba.Mhe. Marcelino Medina Gonzalez,alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo 8, Septemba 2019