Dk.Shein amejumuika na wananchi wa Mkoa wa Mjini Magh katika futari iliyofanyika Ikulu.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na kuagana na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliofanyika Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyewkiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi na Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Dkt. Amani Karume, wakipata futari ya tende katika viwanja vya Ikulu Zanzibar na kushoto Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi, futari hiyo imefanyika, katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja katika futari Maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katika viwanja vya Ikulu Zanzibar kushoto Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi.
MABALOZI Wadogo wanaowakilisha Nchi Zanzibar wanaofanyia zao Zanzibar wakishiriki katika hafla ya futari Maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar katika viwanja vya Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, na kulia Mama Mwanamwema Shein, wakisalimiana na kuagana na Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliofanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
WANANCHI wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakijumuika katika Futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katikac viwanja vya Ikulu Zanzibar.
WANANCHI wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakijumuika katika Futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katikac viwanja vya Ikulu Zanzibar.
WANANCHI wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakijumuika katika Futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katikac viwanja vya Ikulu Zanzibar.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na kuagana Rais wa Mstaaf wa Zanzibar Mhe Dkt. mani Karume, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk., Ali Mohamed Shein, akisalimiana na kuagana na Mama Fatma Karume, baada ya kumalizika kwa hafla ya Futari iliofanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Issa Haji Gavu akizungumza na kutowa shukrani kwa Niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein,iliofanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar
Mama Mwanamwema Shein, amejumuika na watoto Mayatima wa Mazizini katika Futari aliyowaandalia.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akijumuka na Watoto wa Nyumba ya Watoto Yatima Mazizini Zanzibar katika Futari Maalum aliyowaandalia jana 28-5-2019, katika makazi yao mazizini, akiwa na Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akiwa na Mtoto anayelelewa katika Nyumba ya Watoto Mazizini Zanzibar Mtoto Nadir Abdalla mwenye umri wa mwaka moja na miezi mitano, baada ya kumalizika kwa hafla hiyo ya futari maalum aliyowaandalia katika makazi yao mazizini Zanzibar.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akiwa katika futari aliyowaandalia Watoto wa Nyumba ya Serikali ya Watoto Yatima Mazizini Zanzibar, kulia Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Mama Asha Suleiman Iddi na kushoto Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar Mhe. Mauydline Castico, wakijumuika na Watoto hao katika futari hiyo iliofanyika katika makazi yao mazizini
WATOTO wa Nyumba ya Watoto Mazizuini Zanzibar wakiwa katika futari ilioandaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein,iliofanyika katika makazi yao mazizini Zanzibar.
WATOTO wanaoishi katika Nyumba ya Serikali ya Watoto Yatima Mazizini Zanzibar wakipata futari walioandaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, iliofanyika katika makazi yao mazizini
WATOTO wa Nyumba ya Watoto Mazizuini Zanzibar wakiwa katika futari ilioandaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein,iliofanyika katika makazi yao mazizini Zanzibar.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na kuagana na Watoto wa Nyumba ya Watoto Yatima Mazizini Zanzibar baada ya kumalizika kwa hafla ya futari aliyowaandalia katika makazi yao Mazizini akiwa na Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi.
WAZIRI wa Kazi Uwezeshaji Wazee, Wanawake na Watoto Zanzibar Mhe.Maudline Castico, akizungumza na kutowa neno la shukrani kwa Niaba ya Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, baada ya kumalizika kwa hafla hiyo ya futari iuliofanyika katika makazi ya Watoto wa Nyumba ya Watoto Yatima Mazizini Zanzibar.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akiwa katika futari aliyowaandalia Watoto wa Nyumba ya Serikali ya Watoto Yatima Mazizini Zanzibar, kulia Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Mama Asha Suleiman Iddi na kushoto Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar Mhe. Mauydline Castico, wakijumuika na Watoto hao katika futari hiyo iliofanyika katika makazi yao mazizini
Mama Mwanamwema Shein amejumuika na watoto wa SOS katika futari aliyowaandalia.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akijumuika na Watoto wa Kijiji cha SOS Mombasa Zanzibar , katika Futari Maalum aliyowaandalia katika makazi yao.
WATOTO wa Kijiji cha Watoto SOS Mombasa Zanzibar wakipata futari walioandaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na kujumuika nae katika hafla hiyo ya futari iliofanyika jana 27-5-2019, katika makazi yao Mombasa Zanzibar
WATOTO wa Kijiji cha Watoto SOS Mombasa Zanzibar wakipata futari walioandaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na kujumuika nae katika hafla hiyo ya futari iliofanyika jana 27-5-2019, katika makazi yao Mombasa Zanzibar
WATOTO wa Kijiji cha Watoto SOS Mombasa Zanzibar wakipata futari walioandaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na kujumuika nae katika hafla hiyo ya futari iliofanyika jana 27-5-2019, katika makazi yao Mombasa Zanzibar.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, kushoto Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi na kulia Waziri wa Kazi Uwezeshaji wa Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar Mhe. Maudline Castico, wakijumuika na Watoto wa Kijiji cha Watoto cha SOS Mombasa Zanzibar, katika futari Maalum walioandaliwa na Mama Mwanamwem,Shein,katika makaazi yao
WATOTO wa Kijiji cha Watoto SOS Mombasa Zanzibar wakipata futari walioandaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na kujumuika nae katika hafla hiyo ya futari iliofanyika jana 27-5-2019, katika makazi yao Mombasa Zanzibar.
MKURUGENZI wa Kijiji cha Watoto cha SOS Mombasa Zanzibar Bi.Asha Salum Ali, akitowa neno la shukrani kwa Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, baada ya kumalizika kwa hafla hiyo ya futari maalum ilioandaliwa katika makaazi yao.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akimsalimiana mmoja wa Watoto Wanaolelewa katika Kijiji cha SOS Mombasa Zanzibar Wahida Abdallah, aliyebebwa na mtoto mwezake Amina Shabani, baada ya kumalizika kwa kwa hafla ya futari aliyowaandalia katika makaazi yao SOS Mombasa Zanzibar
MKE wa Rais wa Zanzibaerv Mama Mama Mwanamwema Shein, akiitikia dua ikisomwa na Mtoto wa Kijiji cha SOS Mombasa Zanzibar Mohammed Ali Deus, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliofanyika katika ukumbi wa SOS Mombasa Zanzibar kushoto Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi na kulia Waziri wa Kazi, Uwezeshaji wa Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar, Mhe Maudline Castico.
MTOTO Mohammed Ali Dausi akisoma dua baada ya kumalizika kwa hafla ya Futari Maalum walioandaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, iliofanyika katika makaazi ya SOS Mombasa Zanzibar.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na kuagana na Watoto wa Kijiji cha SOS Mombasa Zanzibar, baada ya kumaliza hafla ya futari aliyowaandalia katika makaazi yao Mombasa Zanzibar
Dk.Shein amezungumza na Uongozi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ikulu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, katika mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi, kwa kipindi cha mwezi Julai 2018 hadu March 2019,uliofanyika Ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akifuatilia maelezo ya Utekelezaji wa Mpango Kazi waWizara ya Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kwa kipindi cha Mwezi Julai 2018 hadi March 2019, ikisomwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Issa Haji Gavu, kushoto, katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora na Utumishi wa Umma Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman, akisoma taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa kipindi cha mwezi wa Julai 2018 hadi March 2019, uliofanyika chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.
KATIBU Mkuu Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ndg. Salum Maulid, akiwasilisha Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, wakati wa mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe .Dk.Ali Mohamed Shein, akiongoza mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Kipindi cha mwezi Juali 2018 hadi March 2019, kwa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora na Utumishi wa Umma, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar leo,24-5-2019. kushoto Katibu Mkuu Kiongozi Dkt Abdulhamid Yahya Mzee, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora na Utumishi wa Umma Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein, akiongoza mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Kipindi cha mwezi Juali 2018 hadi March 2019, kwa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora na Utumishi wa Umma, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar leo,24-5-2019. kushoto Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora na Utumishi wa Umma Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman.
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora na Utumishi wa Umma Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman, akisoma taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa kipindi cha mwezi wa Julai 2018 hadi March 2019, uliofanyika chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora na Utumishi wa Umma Zanzibar Ndg. Seif Shaaban Mwinyi, akichangia katika mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa kipindi cha mwezi Julai 2018 hadi March 2019, uliofanyika katika ukumbi Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar
KATIBU Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee akizungumza wakati wa Mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa kipindi cha mwezi Julai 2018 hadi March 2019, uliofanyika kjatika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar, ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.
MAOFISA wa Idara mbalimbali za Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, wakifuatilia mkutano huo wa Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa kipindi cha mwezi Julai 2018 hadi March 2019, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Ndogo ya Kibweni Zanzibar,24-5-2019.
Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu Ndugu Hassan Khatib pamoja na Maafisa mbali mbali wa Ofisi ya Rais Ikulu wakiwa katika mkutano wa utekelezaji wa Mpango Kazi kwa kipindi cha mwezi Julai 2018 hadi March 2019, na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein Ikulu ya Kibweni Unguja
KATIBU wa Rais wa Zanzibar Ndg. Haroub Shaib akizchangia wakati wa hafla ya mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi Wizara ya Nchi Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kwa kipindi cha mwezi Juali 2018 hadi March 2019, uliofanyika Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.
Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Uratibu wa Diaspora Zanzibar Ndugu Adila Hilal Vuai, akizungumza wakati wa mkutano huo wa Utekelezaji wa Mpangio Kazi kwa kipindi cha mwezi Julai 2018 hadi March 2019, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.
Dk. Shein amezungumza na uongozi wa Wizara ya Tawala za Mikoa na Vikosi Maalum SMZ.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduz Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akijiandaa kuaza Mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi,wa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ kwa kipindi cha mwezi wa Julai 2018 hadi March 2019,uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza wakati wa Mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Zanzibar uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar, kulia Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum, Mhe.Haji Omar Kheri.
MKURUGENZI Mtendaji wa Ofisi ya Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii Zanzibar Dkt.Hussein Hussein Khamis Shaban, akizungumza wakati wa mkutano huo wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar
WAKUU wa Wilaya za Unguja na Pemba wakiwa katika mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar. ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.
KATIBU Mkuu Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Bi. Radhia Rashid Haroub,akiwasilisha ripoti ya Utekelezaji wa Mpango Kazi wac Wizara yake,wakati wa mkutano huo uliofanyika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar kulia Wakuu wa Mikoa ya Unguja na Pemba, wakifuatilia mkutano huo.
MAOFISA wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, wakifuatilia mkutano huo, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar
WAKUU wa Vikosi vya Idara Maalum vya SMZ wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,wakati wa Mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa mwezi wa Julai 2018 hadi March2019, kwa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.D k.Ali Mohamed Shein, akifuatilia maelezo ya Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Nchi Ofisi yac Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, ikisomwa na Waziri Mhe. Haji Omar Kheri kushoto, wakati wa mkutano huo uliofanyika Ikulu Ndogo Kibweni
KATIBU Mkuu Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Bi. Radhia Rashid Hussein Haroub, akisoma maelezo ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake wakati wa mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa kipindi cha mwezi Julai 2018 hadi March 2019, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar