Mjumbe wa kamati kuu ya Halmashauri kuu ya CCM ambae pia ni Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amehudhuria kikao cha Halmashauri kuu ya CCM jijini Dodoma.
01 Apr 2022
266
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amezungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari na Waandishi Ikulu Zanzibar.
30 Mar 2022
108
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi wa Opec Fund Ikulu Zanzibar.
30 Mar 2022
89
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amekutana na kuzungumza na Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza Mhe.Tony Blair Ikulu Zanzibar.
27 Mar 2022
124
Rais wa Zanzibar ambae pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amefungua Kongamano la maadhimisho ya wiki ya Wazazi.